December 16, 2025

WatuCrash

Where Creativity Meets Opportunity

Historia ya Tanzania na Maadili

Historia ya Tanzania na maadili

MTIHANI

MTIHANI WA OFA DARASA LA IV JULAI 2025

HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI[A07]

1.Mtihani huu una jumla ya maswali matano{06}

2.Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sali

3.Majibu yote yaandkwe kwa wino wa buluu au mweusi

4.Simu haziruhusiwi kwenye chumb acha mtihani

5.Kumbuka kuandika jina lao kamili kwenye nafasi uliyopea

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

Namba ya

swali

Alama Saini ya mtahini Saini ya mthibiti

1.

2.

3.

4.

5.

6.

Jumla1. SEHEMU A (ALAMA 20)

Jibu vipengele (i) – (x) kwa kuchagua jibu sahihi na kuandika herufi yake katika

kisanduku ulichopewa.

i. Eneo la bonde le isimila lina urithi unaohusu nini? [ ]

A. Zana za mawe

C. Michoro ya mapangoni

B. Zama za kale

D. Mifumo ya umwagiliaji

ii. Sofia huvaa sweta lake wakati wa baridi kali. Vitendo hicho kinaonesha nini kati ya

yafuatayo?

A. Kuthamini wengine

C. Kijithamini [ ]

B. Kuthamini mali ya umma

D. Kujali wengine

iii. Neema anasifika kwa kuwajali watu wengine. Ni matendo gani kati ya haya

hufanywa na Neema?

A. Kuwasaidia wazee mizigo

C. Kuvaa nguo safi

B. Kula chakula bora

D. Kuwahi shuleni [ ]

iv. Tunapokuwa na uhusiano mwema na watu tunazuia jambo gani kati ya haya?

A. Ugomvi na malumbano

C. Kutumia lugha za staha

B. Kutengeneza marafiki wengi

D. Kupendwa sana [ ]

v. Ni faida gani tunayoweza kuipata kutokana na kushirikiana na watu katika kazi

mbalimbal

A. Kutokumaliza kazi

B. Kurahisisha kazi

C. Kufanya kazi kuwa ngumu [ ]

D. Kutumia muda mrefu kufanya kazi

vi. Kwanini tunapaswa kukataa vitendo vya rushwa? [ ]

A. Rushwa huleta haki wa watu wote

B. Rushwa huleta utajiri wa watu

C. Rushwa huwanyima wengine haki

D. Rushwa hurahisisha maisha

vii. Ni ipi kati ya zifuatazo ni kazi ya zana za uvuvi?

A. Jembe

B. Shoka

C. Shuka [ ]

D. Ndoano

viii. Ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo kina matundu matundu na hutumika katika hsughuli

za uvuvi?

A. Mtumbwi

B. Nyavu

C. Nyundo [ ]

D. Chambo

ix. Haki za mtoto ni Pamoja na….

A. Kuchota maji

C. Kuwahi shuleni

B. Kumwagilia bustani

D. Kulindwa [ ]

x. Binadamu wa kwanza duniani inaaminika aliishi wapi? [ ]

A. Marekani C.Tanzania

B. Kenya D.Uganda2. Oanisha maelezo yafuatayo katika orodha A na orodha B kwa kuandika herufi ya

jibu sahihi kwenye nafasi ya majibu uliyopewa.

ORODHA A JIBU ORODHA B

i. Kutoroka nyumbani na kusema uongo [ ] ii. Kuwatembelea wagonjwa [ ]

iii. Kupendwa na kulindwa [ ]

iv. Kitendo kinachofanyika mara kwa mara [ ]

v. Hali ya fungamano na wengine [ ]

A. Tabia

B. Ushirikiano

C. Uhusiano

D. Haki za mtoto

E. Matendo yanayofaa

F. Matendo yasiyofaa

G. Akiolojia

3. Chagua jibu sahihi katika kisanduku kisha jaza nafasi iliyoachwa wazi.

AKIOLOJIA, ENGARUKA, MAKUMBUSHO, KONDOA IRANGI, ENGARUKA, KUCHOCHEA

MAENDELEO,ISIMU HISTORIA

i. Ni chanzo gani cha historia hufafanua taarifa za mabadiliko katika lugha kwa vipindi

mbalimbali? _________________________________________________________

ii. Vitu vyenye historian a urithi kwa kiasili na kiutamaduni huhifadhiwa katika maeneo

yanayoitwa __________________________________________________________

iii. iv. Michoro ya mapangoni hupatikana wapi? ___________________________________

Ni umuhimu gani wa urithi katika taifa? ____________________________________

SEHEMU B (ALAMA 18)

4. Kamilisha jedwali lifuatalo linaloonesha rangi za Bendera ya Tanzania na Maana

zake kwa kuandika majibu sahihi katika nafasi zilizoachwa wazi.

Na. Rangi Maana

(i) Kijani ______________________

(ii) _______________________ Bahari, mito na maziwa

(iii) Nyeusi ____________________

(iv) ______________________

Rasilimali za madini5. 6. Tazama picha ifuatayo kwa maniki kisha ujibu maswali yanayofuata.

i. Taja jina la kifaa kinachowakilishwa na herufi A

ii. _______________________________________________________________

Taja jina la kifaa kinachowakilishwa na herufi B

iii. _______________________________________________________________

Vifaa vinavyoonekana katika picha hii vilitumika katika shughuli gani?

iv. _______________________________________________________________

Ni chakula gani kiliwekwa kwenye kifaa A ili kufanya shughuli uliyoitaja?

v. _______________________________________________________________

Shughuli iliyotumia vifaa vinavyoonekana katika picha hii ilifanyika sehemu gani?

________________________________________________________________

SEHEMU C (ALAMA 12)

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.

Ufugaji ni miongoni mwa shughuli zilizofanywa na jamiii za kale. Mifugo iliyofugwa ni

Pamoja na mbuzi, ng’ombe na kondoo. Ufugaji ulifanyika maeneo yenye nyasi na maji ya

kutosha ili kuipatia mifugo malisho na maji. Siyo Wanyama pekee waliofugwa, bali ndege

kama bata na kuku walifungwa.

Jamii zilizojihusisha na mifugo zilikuwa na maarifa na ujuzi wa kutengeneza mafuta ya samli

kwa kutumia maziwa yatokanayo na wanyama. Mbali na samli, wafugaji walinufaika na

mifugo kwa kupata maziwa na nyama na mayai.

Maswali.

i. ii. iii. Ni shughuli gani imezungumziwa kwenye Habari hii? __________________________

Ni mafuta gani hutokana na maziwa ya wanyama? ___________________________

Ufugaji ulifanyika katika maeneno yaliyokuwa na vitu gani?

a.

___________________________________

b.

___________________________________

iv. v. Ni ndege gani walifugwa pia? ____________________________________________

Ni chakula gani kilipatikana kwa ndege waliofugwa pekee? ____________________

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *